• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKURUGENZI WA IDARA YA AFYA TAMISEMI AIPONGEZA MANISPAA YA UBUNGO

Posted on: January 9th, 2021

Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe TAMISEMI Dkt. Paul Chawote  ameipongeza Manispaa ya Ubungo kwa ujenzi  wenye viwango  wa hospitali ya Wilaya na kuwasisitiza kumaliza mradi   huo Kwa wakati  

Dkt. Chawote ametoa pongezi hizo wakati alipotembelea na kukagua ujenzi wa hospitali hiyo inayojengwa kata ya kimara mtaa wa baruti leo januari 9, 2020 na kueleza kuwa ziara hiyo inalenga kuona utekelezaji wa shughuli mbalimbali za afya ikiwemo ujenzi miundombinu.

"Kwa mujibu wa taarifa, mradi huu ulipaswa kukamilika mwezi desemba 2020, tumieni vizuri muda wa nyongeza mliopewa kukamilisha mradi  ili wananchi waanze kupata huduma kwani hilo ndilo lengo la serikali" amesisitiza Dkt Chawote

Pamoja na kujenga kwa ubora stahiki kwa maana ya thamani ya fedha lakini pia zingatieni marekebisho niliyowaelekeza Kwani ni ya msingi Kwa majengo ya Hospitali ameagiza Dkt  Chawote.

Mkurugenzi msaidizi idara ya afya, ustawi wa jamii na lishe Dkt Paul Chawote (aliyenyoosha mkono) akitoa maelekezo kwa uongozi wa Manispaa ya Ubungo na mjenzi wa mradi wa hospitali leo januari 5,2021 alipotembelea mradi huo.

 Nae  Mkurugenzi wa Manispaa Ubungo Beatrice Dominic ameahidi kuongeza kasi ili mradi ukamilike kwa wakati na uanze kutumika

"Mradi umechelewa kidogo kutokana na changamoto ya upatikanaji wa vifaa vya Ujenzi hususani Mabati na sementi lakini kwa sasa changamoto hizo zimetatuliwa " ameeleza Beatrice

Beatrice ameendelea kueleza kuwa , Utekelezaji wa Mradi Kwa sasa upo asilimia 60 Ila tunategemea asilimia ya kutekelezaji itaongezeka kwani kasi ya ujenzi ni kubwa kwa sasa.

Mradi ulikadiriwa kutumia shilingi bilioni 1.82 kwa awamu ya kwanza ambapo jumla shilingi bilioni 1.5 ni fedha kutoka serikali kuu na shilingi 250 milioni ni mchango wa halmashauri katika mradi huo.


Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Uchangiaji Damu Hospitali ya Sinza June 14, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UJENZI WA MADARASA 8, MADAWATI 300 KUPUNGUZA KERO YA WANAFUNZI KUKAA CHINI KING'ONGO

    January 18, 2021
  • VIKUNDI 22 VYA WAJASIRIAMALI VYAPEWA UTARATIBU UNUNUZI WA PIKIPIKI NA BAJAJI

    January 14, 2021
  • MKURUGENZI WA IDARA YA AFYA TAMISEMI AIPONGEZA MANISPAA YA UBUNGO

    January 09, 2021
  • VIONGOZI WA MITAA WATAKIWA KUHAKIKI KAYA HEWA ZA TASAF

    January 08, 2021
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa