• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Ushuru wa Huduma

I.   SERVICE LEVY

Kodi hii ni matokeo ya Sheria ya fedha namba 9 ya 1982 kifungu cha 6 (1)(U).

Kodi hii hulipwa na makampuni, taasisi na biashara mbalimbali zilizosajiliwaVAT.  Kutokana na mauzo ghafi kwa kiwango kisichozidi asilimia 0.3.

Kwa kawaida kodi hii hukusanywa mara nne kwa mwaka kila baada ya miezimitatu na utaratibu wa malipo ni kama ifuatavyo:-

· Mlipakodi Atatakiwa awasilishe hesabu ya mauzo yake katika Ofisi zaHalmashauri, ambapo atawakabidhi wataalamu wa kutoza kodi hiyo ambao baada yakuzidisha na hiyo asilimia 0.3 atalipa kiasi kinachopatikana.

Mfano mfanyabiashara ameuza kiasi cha Shs. Milioni moja kwa miezi mitatu,i.e. 1,000,000/= itazidishwa na asilimia 0.3 ambazo ni:- 1,000,000 x 0.3 kiasikinachopatikana yaani Shs. 3,000/= ndizo anazopaswa kulipa, na katika ulipaji,mlipa kodi anajaza fomu maalumu ambazo zinapatikana katika Ofisi za Halmashaurina kuambatanisha na mauzo yake na baada ya kufanya malipo anapewa risiti ambayoanapaswa kuiweka tika kumbukumbu zake kwa ajili ya ukaguzi n.k.

Aina ya Makosa yatakayosababisha kutozwa faini/adhabu:-

· Mtu yoyote anayetakiwa kulipa kodi akishindwa kuwasilisha hesabu zakekama inavyotakiwa kwa mujibu wa Sheria ndogo na inapobainika kuwa amefanyamakundi.

· Kodi ambayo haijalipwa kwa wakati kama ilivyoelezwa kwenye Sheriandogo itatozwa na riba ya  faini ya asilimia kumi na tano (15%) kwa mwezina zitatakiwa kulipwa pamoja na kodi inayodaiwa.

· Mtu yoyote ambaye bila sababu za msingi atashindwa:-

(a) kuwasilisha nyaraka, maelezo au taarifa inayotakiwa kuwasilishwakwa Halmashauri katika muda uliowekwa.

(b) Kutunza kumbukumbu, kitabu au hesabu.

(c) Kuonyesha kumbukumbu yoyote au nyaraka kwa ajili ya uchunguzi.

Mtu yeyote bila sababu za msingi:-

(a) Akifanya hesabu za uongo kwa kupunguza au kutoa hesabu zisizokuwasahihi.

(b) Akitoa taarifa isiyokuwa sahihi kuhusu jambo lolote linalowezakuathiri jukumu lake au la mtu mwingine la kulipa kodi.

(c) Akiandaa au kutengenezewa vitabu vya uongo vya Mahesabu aukumbukumbu.

(d) Atamzuia au atajaribu kumzuia Afisa Muidhiniwa kutekeleza majukumuyake aliyopewa kwa mujibu wa Sheria ndogo atakuwa anatenda kosa.

Mtu yeyote atakayevunja masharti ya Sheria ndogo hizi atakuwa anatenda kosana atawajibika kulipa faini isiyozidi shilingi elfu hamsini (50,000/=) au kifungocha miezi isiyozidi (12) kumi na mbili jela au adhabu zote mbili kwa pamoja.

NB:  Pamoja na adhabu atakayotozwa mkosaji kwenye kif.Na. 17 (1). Pia atawajibika kulipa gharama nyingine za Halmashauri.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI KATIKA ZAHANATI YA TEMBONI

    January 20, 2023
  • MADIWANI WA MANISPAA YA UBUNGO WAKUTANA KUPITIA SHERIA NDOGO MPYA

    January 20, 2023
  • MRADI MKUBWA WA KITUO CHA BIASHARA NA LOGISTIKI CHA AFRIKA MASHARIKI KUANZA KUJENGWA UBUNGO

    January 20, 2023
  • VISHKWAMBI 3354 VYAKABIDHIWA KWA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI - UBUNGO

    January 16, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 271 KUJENGA KITUO KIKUBWA CHA BIASHARA UBUNGO | MADUKA 2,060 | AFRIKA MASHARIKI KUJA UBUNGO
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa