• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Maadili ya Msingi

KANUNI ZA MAADILI YA MSINGI MANISPAA YA UBUNGO
Utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo unaongozwa na maadili ya msingi  ambayo hujumuisha  kile ambacho Halmashauri inakithamini zaidi kama vile wafanyakazi wote wanapaswa kuzingatia utekelezaji Maadili ya msingi ambayo yanayoongoza mpango mkakati.

 MAADILI YA MSINGI:

I. Uwazi: Halmashauri inafanya kazi ili kuhakikisha kuwa kuna upatikanaji wa taarifa kwa Umma ya namna inavyofanya kazi zake za kila siku, Halmashauri inakusudia kuitumikia jamii kwa uwezo wake kwa kuzingatia uwazi.

II. Uaminifu na Maadili: Halmashauri itahakikisha wafanyakazi wanafanya kazi kwa usahihi, kwa njia ya uaminifu, haki, na uwajibikaji ili kujenga mahusiano ya kweli na yenye nguvu  miongoni mwa wafanyakazi, wadau, na wateja kwa sifa ya kuaminika katika Halmashauri, pia kwa manufaa na maslahi ya kila mtu.

III. Uvumbuzi: Halmshauri inalenga kuwa mstari wa mbele miongoni mwa  Halmashauri zingine katika utoaji wa huduma za kijamii. Wafanyakazi wanahimizwa kubadilika kutikokana na mazingira kuja na mawazo ya ubunifu ili kukabiliana na changamoto za kijamii na kuimarisha fursa zilizopo za utoaji  wa huduma bora kwa kijamii na ufanisi katika Halmshauri.

IV.Uwajibikaji: Halmashuri inalenga kuzingatia viwango vya utaalamu mahali pa kazi, Uwajibikaji ni kipengele muhimu cha utendaji kazi katika Halmashauri. Wafanyakazi wanakumbushwa kuwa wameajiliwa kwa kigezo cha taaluma walizosomea wanatakiwa kuwajibika katika halmashauri kwa kutoa huduma bora za kijamii na kiuchumi  kwa  ufanisi kwa kutumia rasilimali zilizopo kwa ajili ya maendeleo endelevu.

V. Mtazamo wa jamii: Halmashauri inajidhatiti kukidhi  mahitaji muhimu ya jamii. hii linafanyika kwa kutoa kipaumbele katika kubainsha mahitaji yao na hivyo kutoa huduma kulingana na mahitaji katika ngazi zote na kwa kiwango.

VI. Matokeo chanya: Halmashauri inajitahidi kuzalisha matokeo chanya yanayokubalika katika jamii il kuweza kuleta mabadiliko ya mazuri ya kimaendeleo.

VII. Ushirikiano: Halmashauri inahimiza kufanya kazi kwa kushirikiana na washirika mbalimbali wa maendeleo kutoka sekta binafsi na za umma katika utoaji wa huduma za jamii kwa ufanisi.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa