• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UJENZI WA MADARASA 8, MADAWATI 300 KUPUNGUZA KERO YA WANAFUNZI KUKAA CHINI KING'ONGO

Posted on: January 18th, 2021

Kufuatia upungufu wa madarasa  na madawati katika shule ya Msingi Kingo'ngo iliyopo  kata ya Saranga Manispaa ya Ubungo unaopelekea wanafunzi wengi kukaa chini, Manispaa itaanza mara moja  ujenzi wa vyumba 8   vya madarasa na kutengeneza madawati 300 kwa gharama ya shilingi milioni 160 ikiwa ni hatua ya kutatua changamoto hiyo.

 Shule hiyo yenye wanafunzi 2505, kwa sasa ina madarasa 10 Kati ya hayo madarasa 3 ni mabovu ambapo kutokana na uchache huo wanafunzi wengi wanakaa chini na wengine wanasomea nje.


Manispaa imefikia uamuzi wa kujenga miundombinu hiyo ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais  Dkt John Pombe Magufuli   alilolitoa leo Januari 18, 2021 akiwa Mjini bukoba  la kutaka madarasa yajengwe na kutengeneza madawati kwa haraka ili wanafunzi wasikae chini wala kusomea nje 


Mhe Rais ametoa agizo hilo  kufuatia taarifa iliyotolewa na mwananchi na kusambazwa kwenye mitandao wa kijamii ikionesha wanafunzi  wengi wakisoma  darasa moja wakiwa wamekaa chini na uwepo wa baadhi ya  madarasa mabovu.


Akiongea na wananchi wa king'ongo  Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kisare Makori amewahakikishia wananchi hao kuwa ujenzi wa madarasa hayo utaanza mara moja ili kuhakikisha tatizo la wanafunzi kukaa chini linatatuliwa kwa kiasi kikubwa.






Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Uchangiaji Damu Hospitali ya Sinza June 14, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KITUO KIPYA CHA MABASI MBEZI LUIS KUANZA KUTOA HUDUMA TAREHE 25 FEBRUARI, 2021

    February 21, 2021
  • WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA KWA UFANISI KUZALISHA WASOMI BORA

    February 16, 2021
  • BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA UBUNGO LAZINDULIWA RASMI

    February 15, 2021
  • ENG NYAMHANGA APONGEZA UJENZI WA MADARASA 9 KING'ONGO, AAHIDI FEDHA ZA UJENZI WA MADARASA MENGINE 6-8

    February 12, 2021
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa