• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WADAU NA WATENDAJI WA HALMASHAURI WAPIGWA MSASA UTUNZAJI WA MAZINGIRA DAR ES SALAAM

Posted on: January 8th, 2021

Shirika lisilo la kiserikali la Lawyers Environment action Team (LEAT)limetoa mafunzo kwa wadau na wataalam kutoka katika Wilaya  zilizopo mkoa wa dar es salaam  kuhusu haki za kimazingira kwa wanawake,vijana,wasichana na jamii kwa ujumla kupitia kuwezesha jamii katika masuala ya kisheria.


Lengo la mafunzo hayo ni  kuwajengea uwezo na  kuwawezesha wakazi wa jiji la dar es salaam kuelewa na kutimiza wajibu wao ili kuishi katika mazingira safi na salama.


Aidha malengo mahususi yakiwa ni kuongeza ufahamu wa wakazi wa dar es salaam juu ya haki za kijamii na kiuchumi kwa wanawake , vijana, wasichana na watoto na jamii  na pia kuongeza  uungwaji mkono wa wadau juu ya mahitaji na vipaumbele vya jamii ziishizo jiji la dar es salaam hususani katika kufikia haki za kimazingira.


Pia  wakufunzi kutoka shirika la lawyers Environment (LEAT) waliendelea kusisitiza juu ya uthubutu na kuhakikisha  sheria zilizowekwa kuhusu utunzaji wa  mazingira zinazingatiwa na itasaidia mazingira kuwa safi na salama.


Sambamba na hayo LEAT iliunda timu  ya watu saba kutoka katika kila wilaya kwaajili ya kufuatilia halu mazingira na kutoa mapendekezo juu ya nini kifanyike kuboresha usimamizi wa mazingira.





Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Uchangiaji Damu Hospitali ya Sinza June 14, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UJENZI WA MADARASA 8, MADAWATI 300 KUPUNGUZA KERO YA WANAFUNZI KUKAA CHINI KING'ONGO

    January 18, 2021
  • VIKUNDI 22 VYA WAJASIRIAMALI VYAPEWA UTARATIBU UNUNUZI WA PIKIPIKI NA BAJAJI

    January 14, 2021
  • MKURUGENZI WA IDARA YA AFYA TAMISEMI AIPONGEZA MANISPAA YA UBUNGO

    January 09, 2021
  • VIONGOZI WA MITAA WATAKIWA KUHAKIKI KAYA HEWA ZA TASAF

    January 08, 2021
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa