- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Maazimio hayo yamefanyika kutokana na hoja iliyoibuliwa mnamo tarehe 08/02/2023 wakati wa kikao cha baraza la kupokea taarifa za utekelezaji za Kata 14 zilizopo Manispaa hiyo ambapo Diwani wa Kata ya Goba Mhe. Esther Ndoha alipowasilisha hoja ya uvamizi wa eneo hilo.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo amesema maazimio hayo yatatekelezwa na kufanyiwa kazi kwa wakati kwa maslahi mapana ya wananchi na amewataka watalamu wa Manispaa hiyo kuendelea kuwajibika kwa pamoja juu ya kuwahudumia wananchi.

