- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Kyomo ameendelea kufafanua kuwa kiasi cha shilingi 74,838,346,000 ambacho ni fedha za ruzuku kutoka Serikali kuu zinajumuisha kiasi cha shilingi 62,341,057 ikiwa ni mishahara, shilingi 1,278,545,000 kwa ajili ya matumizi mengineyo na shilingi 11,218,744,000 kwa ajili ya miradi ya maendeleo toka Serikali kuu.
Akihitimisha Mhe. Nyaigesha amemshukuru Mhe Rais kwa kutoa fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo na uwezeshaji wananchi kiuchumi kupitia mikopo ya 10% na kuahidi kuwa bajeti ya 2023/2024 Manispaa itaenda kutekeleza miradi itakayoenda kutatua kero za wananchi katika nyanja mbalimbali

