• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BENKI YA NMB YATOA VIFAA VYA HOSPITALI NA SHULE UBUNGO

Posted on: June 7th, 2022

Benki ya NMB imeikabidhi Manispaa ya Ubungo msaada wa vifaa vya kuboresha huduma za afya na elimu vyenye thamani ya Tsh Milioni 27.


Akikabidhi vifaa hivyo  meneja wa NMB Donatus Richard alieleza kuwa vifaa hivyo vinajumuisha  

vitanda vya kujifungulia 5, vitanda na magodoro ya kawaida 10,mashine za kupima presha 10 na pazia za wodini 10 kwa ajili ya hospitali ya Wilaya,   viti na meza 35  kwa ajili ya walimu na viti na meza 110 kwa wanafunzi  shule ya msingi Kwembe na  Sekondari ya Urafiki.


Makabidhiano hayo yamefanyika leo Juni 7,2022 ambapo Ndugu Richard ameeleza kuwa benki hiyo inaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita na hivyo kwa kuipa kipaumbele agenda ya afya na elimu wameamua kutoa vifaa hivyo.


“Elimu na Afya ni agenda muhimu kwa benki yetu kutokana na umuhimu wake sisi kama wadau tumeona tuunge mkono juhudi za Serikali katika agenda hizi muhimu” Alisema Richard


Nae Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Jafary Nyaigesha ameipongeza benki hiyo kwa jitihada zao za kuendelea kushirikiana na Serikali kwa kutoa misaada mbalimbali kwa jamii. Na ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kuiwezesha Manispaa kwa utekelezaji wa miradi yakimkakati hadi kupelekea Benki ya NMB kutoa vifaa hivyo na ameiahidi benki hiyo kuwa vifaa hivyo vitatunzwa kwa maslahi ya wana Ubungo.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James ametoa wito kwa Taasisi nyingine kuiga mfano wa walichokifanya benki ya NMB kwani faida kubwa wanazozipata ni kutokana na michango ya wanajamii. Na ameipongeza benki hiyo kwa jinsi inavyojitoa kwa Serikali yao kwa kutoa misaada mbalimbali yakuiwezesha jamii.


James ameendelea kueleza mbali na kuwa Serikali inaiwezesha jamii kwenye masuala ya elimu, afya na sekta nyinginezo lakini pia NMB imekuwa mstari wa mbele katika kuunga mkono juhudi hizo.


Kwani vitanda vilivyotelewa kwa ajili ya akina mama vitakuwa na mchango mkubwa katika kuwawezasha akina mama kuwa kwenye mazingira mazuri wakati wa uzazi lakini walimu watafanya kazi kwenye mazingira mazuri na wanafunzi watasoma kwenye mazingira mazuri. Na amewasihi Shule ya Msingi Kwembe, Sekondari ya Urafiki na Hospitali ya Wilaya kutunza vifaa hivyo ikiwa kama ni ishara ya kutoa shukrani kwa NMB.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa