• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BILIONI 3.2 KUBORESHA MTANDAO WA BARABARA UBUNGO 2022/2023

Posted on: January 14th, 2022

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini( TARURA) Wilaya ya Ubungo tarehe 14.1.2021 wamewasilisha rasimu ya  bajeti kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 yenye thamani ya bilioni 3.2 kwaajili ya kuboresha mtandao wa barabara wenye kilomita 574.56 

Akiwasilisha rasimu ya bajeti kwenye kikao maalum Cha kupitisha Rasimu ya bajeti ya matengenezo na ujenzi wa BARABARA kwa Mwaka wa fedha 2022/2023, Meneja wa TARURA Wilaya hiyo Ndg.Musa Z.Mzimbiri alisema kuwa matengenezo ya Barabara yatajikita kwenye Maeneo korofi ,Maeneo maalum,Vivuko na matengenezo ya kawaida

Aidha Mussa alisema mtandao huo wa barabara unaolenga kuboresha huduma za kijamii ,kiuchumi na kiufundi kwa wananchi utazingatia vipaumbele vya kuhakikisha Maeneo yote yanafikika wakati wote kwa kutengeneza muunganiko wa usafiri wa barabara Kati ya mitaa na Kata 

Pia Mussa amefafanua kuwa kiwango Cha rasimali fedha kwa mujibu wa mahitaji halisi ya matengenezo ni karibu Bil 17.1 lakini bajeti iliyopangwa ni bilioni 3.2 hali inayopelekea kutotengeneza barabara zote kwa wakati mmoja katika kipindi husika

Akipongeza baada ya kupokea tarifa  hiyo Mwenyekiti wa kikao ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Kheri ameipongeza TARURA kwa utendaji kazi wa kuhakikisha barabara za mitaa zinapitika ukizingatia barabara nyingi zinachangamoto

Aidha Wajumbe wa kamati hiyo wakichangia rasimu hiyo kwa nyakati tofauti tofauti wamepongeza utendaji kazi wa TARURA na kuwaomba mpango huo utekelezeke kwa asilimia 100 ili kuondoka kero ya ubovu wa  barabara  kwaajili ya kuchochea maendeleo




Aidha  kwa Mtandao wa barabara za vijijini na mijini ( TARURA) Manispaa ya Ubungo una urefu wa jumla ya Km 574.56 ambapo km 221.44 barabara ya makusanyo (collector) km 353.12 ni barabara za mlisho (feeder) na km 0 ni barabara za Jamii (community)


Sehemu kubwa ya mtandao wa barabara 91.67% ni  tabaka la udongo na kiasi kidogo Cha changarawe na barabara zilizo na tabaka la lami na zege ni km 47.84 sawa na asilimia 8.33





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa