• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BILIONI 3.2 KUBORESHA MTANDAO WA BARABARA UBUNGO 2022/2023

Posted on: January 14th, 2022

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini( TARURA) Wilaya ya Ubungo tarehe 14.1.2021 wamewasilisha rasimu ya  bajeti kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 yenye thamani ya bilioni 3.2 kwaajili ya kuboresha mtandao wa barabara wenye kilomita 574.56 

Akiwasilisha rasimu ya bajeti kwenye kikao maalum Cha kupitisha Rasimu ya bajeti ya matengenezo na ujenzi wa BARABARA kwa Mwaka wa fedha 2022/2023, Meneja wa TARURA Wilaya hiyo Ndg.Musa Z.Mzimbiri alisema kuwa matengenezo ya Barabara yatajikita kwenye Maeneo korofi ,Maeneo maalum,Vivuko na matengenezo ya kawaida

Aidha Mussa alisema mtandao huo wa barabara unaolenga kuboresha huduma za kijamii ,kiuchumi na kiufundi kwa wananchi utazingatia vipaumbele vya kuhakikisha Maeneo yote yanafikika wakati wote kwa kutengeneza muunganiko wa usafiri wa barabara Kati ya mitaa na Kata 

Pia Mussa amefafanua kuwa kiwango Cha rasimali fedha kwa mujibu wa mahitaji halisi ya matengenezo ni karibu Bil 17.1 lakini bajeti iliyopangwa ni bilioni 3.2 hali inayopelekea kutotengeneza barabara zote kwa wakati mmoja katika kipindi husika

Akipongeza baada ya kupokea tarifa  hiyo Mwenyekiti wa kikao ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Kheri ameipongeza TARURA kwa utendaji kazi wa kuhakikisha barabara za mitaa zinapitika ukizingatia barabara nyingi zinachangamoto

Aidha Wajumbe wa kamati hiyo wakichangia rasimu hiyo kwa nyakati tofauti tofauti wamepongeza utendaji kazi wa TARURA na kuwaomba mpango huo utekelezeke kwa asilimia 100 ili kuondoka kero ya ubovu wa  barabara  kwaajili ya kuchochea maendeleo




Aidha  kwa Mtandao wa barabara za vijijini na mijini ( TARURA) Manispaa ya Ubungo una urefu wa jumla ya Km 574.56 ambapo km 221.44 barabara ya makusanyo (collector) km 353.12 ni barabara za mlisho (feeder) na km 0 ni barabara za Jamii (community)


Sehemu kubwa ya mtandao wa barabara 91.67% ni  tabaka la udongo na kiasi kidogo Cha changarawe na barabara zilizo na tabaka la lami na zege ni km 47.84 sawa na asilimia 8.33





Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA April 26, 2021
  • TANGAZO KWA WAMACHINGA WOTE November 20, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC UBUNGO AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA POLIO

    May 18, 2022
  • MANISPAA YA UBUNGO YAPOKEA UGENI KUTOKA OR - TAMISEMI NA WADAU WA MNYORORO WA UGAVI NA USAMBAZAJI WA BIDHAA ZA AFYA

    May 17, 2022
  • AJENDA YA ULINZI NA USALAMA NI NYUMBA KWA NYUMBA UBUNGO

    May 14, 2022
  • BARABARA YA SUKA - GOLANI MAMBO SAFI

    May 14, 2022
  • Tazama zote

Video

TAREHE 11/05/2022 MWENGE WA UHURU UTAPOKELEWA UBUNGO MANISPAA
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa