• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC UBUNGO AELEKEZA YAFUATAYO KUELEKEA MAADHIMISHO YA WIKI YA USAFI

Posted on: November 30th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Kheri James Leo tarehe 30.12.2021 ameongea na vyombo vya habari na kutoa mwongozo juu ya wiki ya Usafi ambayo inaanza kuadhimishwa kuanzia kesho 1.12.2021, Maadhimisho hayo  yataenda Sambamba na Kauli mbiu ya SAFISHA, PENDEZESHA DAR - ES- SALAAM

Kuelekea katika  Maadhimisho hayo ambayo Kimkoa  yatafanyika tarehe 4.12.2021  Wananchi wote wa Wilaya ya Ubungo mnaelekezwa  kufanya  Usafi wa maeneo yenu kwa kuzingatia upandaji wa miti, maua, na kufagia maeneo yote yaliyowazunguka 

•Aidha Kheri amesema kuwa  Maadhimisho ya wiki ya  USAFI yatazinduliwa rasmi  Kiwilaya na Wilaya  ya Ubungo zoezi hilo litazinduliwa rasmi   kesho tarehe  1.12.2021 katika Kata ya Msigani- eneo la Msigani na   Kata zingine zote zitakuwa na uzinduzi katika maeneo  yaliyopangwa 

•Ubungo ni lango kwa jiji la dar es salaam  hivyo  ameagiza   wananchi wote wa Wilaya ya  Ubungo kuzingatia mazingira yaliyowazunguka yanakuwa SAFI  ili kupendezesha jiji na Maeneo yote kuwa Safi na  salama 


•Kila mfanyabiashara asafishe eneo linalozunguka biashara yake


•Maeneo yote ambayo wajasiriamali hawajaondoka kwenda kwenye maeneo rasmi waliyopangiwa wanaagizwa  kuondoka kwenda sehemu rasmi kwani  Utii wa Sheria bila shuruti ni Jambo jema. ameeleza hayo  Kheri


•Pia amewaomba Wadau wa Sanaa waendelee kuelimisha Umma kuhusiana na maswala ya USAFI hasa  kwa Kutumia ufundi wa kisanaa ili ujumbe uweze kuwafikia wananchi.





Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA April 26, 2021
  • TANGAZO KWA WAMACHINGA WOTE November 20, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YATOA ELIMU YA UNYONYESHAJI KWA KINA MAMA

    August 03, 2022
  • WAFANYABIASHA WAKUBALI KUANZA KULIPA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA

    August 03, 2022
  • UBUNGO YAFANYA MKUTANO NA WAFANYABIASHARA

    July 31, 2022
  • MSTAHIKI MEYA AKUTANA NA VIONGOZI WA SHIUMA UBUNGO

    July 25, 2022
  • Tazama zote

Video

HAKUNA MGOMO WA MABASI MAGUFULI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa