• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

HALAMASHAURI Y JIJI LA MWANZA YATEMBELEA UBUNGO MANISPAA

Posted on: November 8th, 2022


Leo tarehe 08/11/2022 Wageni kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza wakiwemo waheshimiwa madiwani na wataalamu wa Halmashauri hiyo wamefanya ziara ya kutembelea Manispaa ya Ubungo lengo ikiwa lengo ni kujifunza na kubadilishana juu ya ukusanyaji wa mapato na uendeshaji wa Kituo cha Mabasi cha Magufuli “Magufuli Bus Terminal”.

Akiongea Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Manispaa ya Ubungo Dkt Peter Nsanya amewaeleza wageni hao namna Manispaa hiyo inasimamia ukusanyaji wa mapato kwa ufanisi ambapo kila kata inamlezi wake ambao ni wakuu wa idara na Vitengo na maafisa biashara ambao wamekuwa wakishirikiana na viongozi wa Kata wanazozilea katika kuhakikisha mapato yanakusanywa kwa usahihi na ufanisi

Nsanya ameendelea kueleza kuwa uwepo wa Kituo cha Magufuli umekuwa ni chachu ya kuongeza mapato kwa Manispaa hiyo ambapo kwa mwaka kituo hicho kinakusanya shilingi Bilioni 5 kutoka kwenye vyanzo vyake ikiwemo ushuru wa kuingilia kituoni, vyooni, bajaji na pikipiki, hoteli inayosimamiwa na mzabuni, parking za kulaza magari, Ada ya kuingiza na kutoa mabasi kituoni na upangishaji wa fremu za biashara.


Sambamba na maelezo hayo wageni hao wamefanikiwa kujua namna kituo hicho kinaendeshwa na kusimamiwa kwa ufanisi kwa maslahi ya wanaubungo.
Nae Mhe. Kheri James Mkuu wa Wilaya ya Ubungo amesema Mkoa wa Dar es Salaam ambao Wilaya ya Ubungo ipo ndani yake na Mkoa wa Mwanza inakimbizana katika wingi wa watu hivyo ni lazima kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake na hivyo ni vyema kubadilishana uzoefu kwa mazuri yanayofanywa na Halmashauri za mikoa hiyo.
James ameendelea kueleza Stendi kubwa ya Mkoa wa Dar es salaam ipo Ubungo hivyo ni vyema wageni hao kujifunza namna kituo hicho kinaendeshwa ili kupata uzoefu wa kwenda kuendesha kituo chao cha Nyegezi na amewapongeza kwa ujenzi wa Kituo hicho cha kisasa.

Kwa upande wake Kaimu Naibu Meya wa Jiji la Mwanza Mhe. Hamidu Selemani Said ametoa shukrani kwa mapokezi mazuri waliyoyapata pamoja na fursa ya kujifunza mambo mengi mazuri yanayofanywa na Manispaa ya Ubungo

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa