- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
- Katika Mradi wa shule hiyo ya wasichana ambao unajengwa na mkandarasi Bandiko Construction limited ambapo mradi huo una thamani ya shilingi Bilioni 3 na kwasasa umefika zaidi ya asilimia 90 ukitarajiwa kukamilika Disemba 30. Mradi huo una jumla ya madarasa 12, maabara 4 pamoja na mabweni 3
- Kwa upande wa hospitali ya Palestina iliyopo Sinza, kamati imekagua mradi wa umaliziaji ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje OPD lenye thamani ya shilingi milioni 326. Akizungumza wakati wa kuwasilisha ripoti ya mradi huo kaimu mganga mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Elizabeth Ngulo amesema kuwa mradi huo ambao umefikia asilimia 93 ulitarajiwa kukamilika Oktoba 30 lakini changamoto kadhaa zimekwamisha mradi huo kukamilika kwa wakati ikiwemo changamoto ya kuchelewa kwa malipo kwa mafundi hali inayopelekea nguvu kazi kupungua
- Kamati imebaini mapungufu mbalimbali katika mradi huo ikiwemo ubora wa madirisha yaliyowekwa na hivo wamemuagiza mkandarasi kurekebisha haraka kutoka sasa kabla ya kukabidhi mradi

