• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA MICHEZO WILAYA YA UBUNGO YAJIPANGA KUKUZA SOKA LA MPIRA WA MIGUU NA MASWALA YA MICHEZO

Posted on: May 7th, 2021

 Tarehe 7 mei 2021 kamati ya michezo Wilaya ya Ubungo na Uongozi wa cha mpira wa miguu Ubungo (UFA) wamefanya kikao kujadili  utendaji kazi wa chama cha mpira wa miguu (UFA) Ubungo  na maswala mbalimbali ya kukuza michezo katika Wilaya ya Ubungo

Kikao hicho kimehudhuliwa na mwakilishi wa Katibu Mkuu Baraza la michezo Taifa Mirinde Mahona, Afisa michezo wa Mkoa wa dar es salaam Adolf Halii, Wataalam wa Manispaa ya Ubungo na wadau wa michezo wa Wilaya ya Ubungo kutoka chama cha mpira wa miguuu (UFA)

Wakati wa kikao hicho  mwakilishi wa Katibu wa Michezo taifa, Mahona  aliwashauri wajumbe kuhakikisha wanafata sheria, kanuni na misingi ya utawala bora

Aliendelea kwa kusema kuwa uongozi lazima uhakikishe unatatua migogoro ya chama kwa uweredi ilikuepusha sintofahamu kwa wajumbe katika chama

Nae Afisa michezo Mkoa Ndg Adolf Halii  aliwapongeza uongozi wa UFA kwa kufanya kazi zake kwa weredi za  kuendesha chama chao na  kuwataka kuachana na migogoro ya ndani ya chama ilikikue na kupata maendeleo zaidi

Aliendelea kwa kuwataka UFA kuwa na malengo, uwazi, na kuwataka kuhakikisha wanashirikiana  na kamati ya wilaya katika mambo mbalimbali yanayohusu chama chao na klabu

Sambamba na hayo Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Ubungo Ritha nguruwe alishauri  uongozi wa cha chama mpira wa miguu UFA kuhakikisha  umoja na mshikamano katika jumuiya zao za michezo ilikuleta maendeleo katika soka na kuachana na mivurugano na migogoro inayoendelea katika virabu na uongozi

Nae Mjumbe wa kamati hiyo Ndg.Adam bwao alisitiza na kuwaomba wajumbe kutambua Michezo ni ajira na inaangaliwa na watu wengi kwa maendeleo ya watu wa ubungo

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA BILIONI 8.2 UBUNGO YAPITA KWA KISHINDO MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    June 05, 2025
  • TUZINGATIE USAFI KUEPUKA MAGONJWA

    May 31, 2025
  • BODI YA AFYA UBUNGO YAPONGEZA WATAALAM WA AFYA NA KUTOA MAAGIZO YAKUBORESHA NYANJA MBALIMBALI

    May 29, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa