• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMPENI YA USAFI MWISHO WA MWEZI YAFANYIKA KWA KISHINDO, MALAMBA MAWILI YANG'AA

Posted on: March 25th, 2023



Kampeni ya usafi kwa Jumamosi ya kila mwisho wa mwezi inayojulikana kama "Safisha, Pendezesha Dar es Salaam" imefanyika kwa kishindo ambapo imeongozwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba.


Zoezi hilo limefanyika mapema leo jumamosi ya Machi 25, 2023 katika eneo la kituo cha Daladala cha Malamba Mawili kata ya Msigani ambapo taasisi mbambali ikiwemo Chama Cha Mapinduzi CCM, benki ya NMB na CRDB pamoja wananchi wa maeneo hayo wamejitokeza kwa wingi.


Wakati akiongea na wananchi hao Mh. Komba kwanza amewapongeza kwa kujitokeza kwa wingi kwenye kampeni hiyo ya usafi na pia ametoa maagizo kwa wale wote ambao wanakusanya michango kwa wafanyabiashara ambao wanafanya shughuli zao kwenye maeneo ambayo sio rasmi

"Nafahamu kuna wafanyabiashara wadogo wadogo ambao wanafanya shughuli zao kwenye maeneo ambayo sio rasmi. Sasa wakati taratibu za kuwahamisha kwenda kwenye maeneo rasmi zinaendelea kati ya Manispaa, TANROAD na Wafanyabiashara, kuna watu wachache wanachangisha michango mbalimbali kwa wafanyabiashara hao kinyume na sheria. Nitamke hapa napiga marufuku michango yote isipokuwa mchango wa usafi tu" Amesisitiza mhe. Komba


Aidha Mhe. Komba amesikitishwa na kitendo cha madereva bajaji wa eneo hilo kutoshiriki zoezi hilo la usafi, hivyo ametoa maelekezo kuwa viongozi wa madereva bajaji, OCD, LATRA na Afisa biashara wafike ofisini kwake jumatatu asubuhi.

Pia ameagiza jumamosi ijayo ya Aprili 01, 2023 zoezi la usafi wa eneo hilo utaongozwa na madereva bajaji.

Awali akitoa salamu za Manispaa na baraza la Madiwani, mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe. Jaffary Nyaigesha amewapongeza wananchi wote waliojitokeza kwenye usafi na amewataka kuhakikisha zoezi la usafi inakuwa ni utamaduni wao wa kila siku kwenye maeneo yao ya biashara na makazi pia.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa