• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAADHIMISHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI YAFANA UBUNGO

Posted on: October 16th, 2023

Manispaa ya Ubungo imeadhimisha siku ya Chakula Duniani  tarehe 16 oktoba, 2023 na Maadhimisho hayo yameenda sambamba na Kauli mbiu isemayo "Maji ni maisha, Maji ni chakula hakuna wakuachwa nyuma"

Katika maadhimisho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Manispaa ya Ubungo, mgeni rasmi alikua Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Archie Mntambo ambaye pia amemwakilisha Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo alisema kuwa  maadhimisho haya huadhimishwa na nchi zaidi ya 130 duniani kwaajili ya kuhakikisha kila mtu anapata lishe bora

Mntambo, aliendelea kusema kuwa Kila mmoja anatakiwa kuhakikisha anakunywa maji ya kutosha na ndomana kauli mbiu ya mwaka huu inasisitiza juu ya umuhimu wa maji katika maisha ya binadamu

Maji yanatakiwa kwa kiasi na mtu mzima anatakiwa kunywa maji yasiyopungua glasi 6 kwa siku. Alisisitiza Mntambo

Mntambo, Alisisitiza kujihadhari na mvua zinazotarajiwa kunyesha "El-Nino" kwa kulima mazao yanayohitaji maji mengi ili kuendeleza usalama wa chakula.

Aidha, Afisa Kilimo Manispaa ya Ubungo Editha Chilongani alisisitiza watu kuzingatia ulaji wa vyakula kwa kuzingatia makundi ya mlo kamili ili kuujenga na kulinda mwili dhidi ya magonjwa 

Aliendelea kusema kuwa mlo kamili unahusisha makundi 6 ya vyakula na dunia ina adhimisha siku ya leo ya kilele cha siku ya chakula duniani

Nae, Mratibu wa siku ya chakula Wilaya ya Ubungo, Stella Nzelu alisema kuwa siku ya chakula duniani ilianzishwa mwaka 1979 na  shirika la FAO (shirika la chakula duniani) lengo ni kuujulisha umma umuhimu wa chakula

Aliendelea kusema kuwa, kutoka na kauli mbiu ya mwaka huu Maji yamechukua 80% katika maisha ya mwanadamu ili tuishi tunahitaji kunywa maji yakutosha na Maji katika maisha ya kawaida hutumika katika kilimo,ufugaji,kuoshea vitu mbalimbali vitumikavyo na binadamu

Alimalizi kwa kuwashukuru Wadau walioshiriki katika maadhimisho hayo ambao  ni IITA na wakulima walioonyesha mazao mbalimbali wanayozalisha sambamba na bidhaa zinazotokana na mazao hayo

Mkuu wa Idara ya Kilimo,uvuvi na mifugo Archie Mntambo akikagua vikundi mbalimbali vya wakulima vilivyoshiriki katika maadhimisho ya siku chakula


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa