- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
- Aidha Mkurugenzi mkuu wa Manispaa ya Kahama Ndugu Anderson Msumba amepokea vizuri ziara hiyo kisha akaongoza kikao maalumu ambacho kililenga kutoa mikakati mbalimbali ya namna ambavyo Manispaa ya Kahama inaendesha shughuli za maendeleo ikiwemo ukusanyaji wa mapato pamoja na miradi ya maendeleo. Akizungumza katika kikao hicho, Msumba amesema kuwa Manispaa ya Kahama inatarajia kukusanya mapato ya shilingi bilioni Tisa kwa mwaka huu wa wa fedha 2022 - 2023 kutoka kwenye vyanzo vya ndani hasa ikiwa ni ushuru wa huduma
- Msumba ameendelea kusema kuwa katika kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia mapato ya ndani ambapo kutoka mwala 2016 mpaka 2022 Manispaa imetumia Bilioni 5.4 kwenye mikopo hiyo na deni lililopo ni shilingi milioni 495. Kubwa ameeleza juu ya kuandaa mazingira wezeshi ya kazi kwa vikundi hivyo ili vifanye kazi na kurejesha mapema mikopo hiyo. Bwana Msumba ametoa mfano kuwa karibu samani zote za ofisi ya manispaa Kahama zimetengenezwa na wajasiriamali waliofadika na mikopo ya asilimia 10
- Akiongea baada ya ziara hiyo Mstahiki Meya wa Ubungo Mhe. Jaffary Nyaigesha ameeleza kuwa wamefurahishwa sana na mikakati ya maendeleo ya Manispaa Kahama na wamechukua mafunzo hayo na kuahidi kwenda kuyatekeleza kwa vitendo

