- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
- Nae Afisa tehama anayehusika na usimamizi wa mfumo huo kwa Manispaa ya Ubungo ndugu Aziza Lota amesema kuwa mfumo huo utasaidia kusajili vikundi katika namna bora zaidi na pia utarahisisha ufuatiliaji wa marejesho kwa vikundi vitakavyopatiwa mkopo ambapo marejesho yao sasa watakua wanayafanya kwa kutumia namba za kumbukumbu (control number) watakazopewa na ofisi ya Maendeleo ya jamii Manispaa ya Ubungo
Aidha kwa vikundi ambavyo bado havijajisajili kwenye mfumo vinatakiwa kufika kwenye ofisi za kata na kuonana na afisa maendeleo wa kata ambaye atawasaidia kwenye zoezi zima la usajili, pia watembelee ukurasa wa Youtube wa UBUNGO MANISPAA kisha watafute "Jinsi ya kusajili kikundi kwenye Mfumo" hapo watapata video yenye maelezo yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa hatua za usajili

