- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari

Mhe. Kairuki ameendelea kueleza kuwa uwekezaji huo unathamani ya dola 81,827,655.01 sawa na fedha za kitanzania shilingi bilioni 195 na mwekezaji atakuwa amerejesha fedha za uwekezaji baada ya muda wa uwekezaji kuisha na atatakiwa kukabidhi umiliki wa asilimia 100 kwa Manispaa ya Ubungo.
“Katika kuendesha uwekezaji wetu Nchini Tanzania kampuni ya EACLC limited itaendelea kutekeleza misingi ya ukweli, matokeo ya uhakika na imani njema kuhusu ushirikiano na Afrika ambao ni msingi uliowekwa na Mhe. Rais wa China Xi Jinping alipokuwa Dar es salaam miaka 10 iliyopita na pia Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alipokuwa Nchini China hivi karibuni” aliahidi Wang.

