• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MARUFUKU KUFANYA BIASHARA NJE YA MASOKO.

Posted on: June 10th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewataka wafanyabiashara wote wanaopanga biashara zao nje ya soko la Mabibo kurudi ndani ya soko hilo ili kuimarisha huduma za uuzaji na ununuzi ndani ya soko hilo.  

Agizo hilo amelitoa Leo Juni 10, 2022 alipotembelea soko la Mabibo na Simu 2000 yaliyopo Wilaya ya Ubungo, lengo ikiwa ni kukagua masoko hayo pamoja na kusikiliza kero za wafanyabiashara ambapo moja ya kero iliyoibuliwa na wafanyabiashara wa soko la mabibo ni uwepo wa wafanyabiashara wanaofanya biashara nje ya soko hilo.

“Kero kubwa ya soko hili ni uwepo wa wafanyabiashara zinazofanana na sisi nje ya soko hali inayosababisha wafanyabiashara wa ndani kutokuuza kwani wateja wananunua bidhaa nje” Alisema Amina Elias mmoja wa wafanyabiashara wa soko hilo.
Akijibu hoja hiyo Makalla ameeleza kuwa moja ya sababu zinazopelekea masoko mengi kufa ni uwepo wa wafanyabiashara wanaofanya biashara nje ya soko ambazo zinazofanana na zilizopo ndani ya soko hivyo rudini wote ndani ya soko.
Wakati huo huo Makalla amewaagiza watendaji wa Kata na Mitaa kuhakikisha ndani ya siku saba hakuna mfanyabiashara yeyote nje ya soko hilo.

Kwa upande wa soko la Simu 2000 Makalla ameelekeza uongozi wa Wilaya ya Ubungo kuwa, maombi ya wafanyabiashara kufanyiwa kazi ikiwemo uboreshaji wa miundombinu ya maji, barabara, mitaro na kuongezewa ruti za magari ya abiria ili kuongeza wateja.

Aidha, Makalla amewataka wafanyabiashara wote kufanya biashara kwa utulivu na Serikali ipo tayari kuwapa ushirikiano katika kuimarisha na kuboresha mazingira yakufanya biashara kwani uchumi wa Dar es Salaam unategemea biashara.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa