• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

RC MAKALLA ASISITIZA UMUHIMU WA KAMPENI YA ANUANI ZA MAKAZI.

Posted on: February 16th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh Amos Makalla amefanya kikao cha kuzindua zoezi la anuani za makazi na sensa kilichojumuisha madiwani, wenyeviti na watendaji wa kata na mitaa lengo ikiwa ni kuwa na uelewa wa pamoja wa juu ya umuhimu wa anuani za makazi ili kufanikisha zoezi la sensa.


RC Makalla ameeleza kuwa zoezi hilo litaanza tarehe 22/02/2022 na amewataka viongozi wa kata na mitaa kuongelea zoezi hili kila wanapofanya mikutano ya wananchi kwani zoezi hili litaenda kuwezesha zoezi la sensa ya watu na makazi ya 2022 kufanikiwa kwa ufanisi na ametaka zoezi hilo likamilike kabla ya tarehe 15 April 2022.


Mkuu wa Mkoa ameeleza miongoni mwa faida za zoezi hili ni kupunguza migogoro ya Ardhi, kuagiza biashara mtandaoni kwa urahisi, kurahisisha kuelekeza mgeni na kuweka mpangilio mzuri wa jiji, kuimarisha ulinzi na usalama na utambuzi wa maeneo ya huduma za kijamii.


Akizungumza wakati wa kikao hicho RC Makalla amewataka wenyeviti na watendaji kuhakikisha majina ya mitaa watakayoyachagua yanakuwa na heshima huku akitahadharisha zoezi lisiwe chanzo cha migogoro ya mipaka baina ya mtaa na mtaa. 


Makalla amewataka viongozi hao kuhakikisha wanahitisha kikao na wamiliki wa hotel, na nyumba zote za wageni ili kuhakikisha siku ya sensa wageni wote waliolala kwenye nyumba hizo za wageni siku hiyo ya sensa wanahesabiwa.


Aidha RC Makalla amemshukuru na kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kuleta zoezi hilo litakaloifanya Tanzania kuwa na anuani ya kueleweka na hadhi ya kimataifa na amesema serikali inaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali il kuhakikisha vibao vya kuweka kwenye nyumba vinapatikana kwa gharama nafuu ambayo kila mwananchi ataweza kuimudu.


Naye Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Godwin Gondwe aliekuwa amemuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwa niaba ya wakuu wa Wilaya zote za Dar es Salaam amesema wapo tayari kupambana kwa hali na mali katika kuhakikisha zoezi hili linafanyika kama ilivyokusudiwa.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa