- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Akiongea Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Mfaume amepongeza hatua za matayarisho ya kuanza kutoa huduma kwenye vituo viwili vipya ikiwemo kituo cha afya Goba na Zahanati ya Kinzudi ifikapo mwezi Januari, 2023 ambavyo vitasaidia kusogeza huduma za afya karibu na wananchi.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ina jumla ya vituo 22 vya kutolea huduma za afya ikiwemo Hospitali 1, vituo vya afya 5 na Zahanati 16 ambavyo vinaendelea kutoa huduma za afya kwa wananchi.

