- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Akiongea ndugu Emmanuel Saulo Mapolu Meneja wa Hoteli hiyo wakati akielezea gharama za vyumba vya Hoteli hiyo amesema kwa sasa kuna vyumba vya shilingi elfu 30, elfu 40 na vyumba vyenye vitanda viwili ambavyo vina gharama ya shilingi elfu 50.
Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mhe. Jaffary Juma Nyaigesha amewapongeza wasimamizi wa Hoteli hiyo kwa usimamizi mzuri akiwemo Ndugu Benjamin Fredy Mwandete Mkurugenzi Mkuu wa Hoteli hiyo pamoja na Meneja wa hoteli hiyo na kutoa wito kwa wananchi kujionea fahari ya kuwa na Hoteli hiyo ambayo itaenda kuchochea maendeleo kwa wana Ubungo.

