• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

VIKUNDI 22 VYA WAJASIRIAMALI VYAPEWA UTARATIBU UNUNUZI WA PIKIPIKI NA BAJAJI

Posted on: January 14th, 2021

Jumla ya Vikundi 22 vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu waliopata mikopo ya vyombo vya moto yaani Pikipiki, Toyo na Bajaji wamepewa maelekezo na utaratibu wa namna ya kununua vyombo hivyo kwa kuzingatia viwango vya ubora.

Vikundi hivyo vimepokea maelekezo hayo   kutoka ldara ya Maendeleo ya Jamii na Vijana ya Manispaa ya Ubungo mara baada ya kupata  mkopo huo  uliotolewa na Manispaa mapema Januari,2021 na  kueleza kuwa vikundi vitaunda Kamati za kufanya manunuzi kadiri  ya mahitaji yao sambamba  na  kuweka uwazi wa ununuzi huo.

Akiongea wakati wa kutoa maelekezo hayo Afisa Maendeleo ya Jamii na Vijana wa Manispaa ya Ubungo Bi. Rose Mpeleta ameeleza kuwa Manispaa ya Ubungo imeamua kutumia utaratibu huo ili kuvipa uhuru vikundi katika kununua vyombo hivyo na Manispaa itawajibika kuwasaidia kulipa fedha hizo kwa wazabuni husika.

"Kila chombo  kitasajiliwa kwa jina la kikundi lakini Kadi zitatunzwa  na Manispaa mpaka watakapomaliza marejesho kwa mujibu wa utaratibu ndipo Kadi hizo watarudishiwa" alieleza Bi. Rose Mpeleta.

Mpeleta ameendelea kuwasisitiza wanavikundi hao kuwa, baada ya kununuliwa vyombo hivyo vitakaguliwa ili kujiridhisha na viwango vya ubora kulingana na mahitaji ya wanavikundi.

Mpeleta amefafanua kuwa "Huu ni utaratibu mpya umewekwa, hapo zamani vikundi vilikuwa vinakabidhiwa fedha na kufanya manunuzi vyenyewe hali ambayo vikundi vingine vilipata vyombo ambavyo havina ubora"

Stuwart Banda ni mwanakikundi wa Kikundi cha Vijana cha Jiwezeshe kutoka Kata ya Goba ameishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwawezesha vijana kupitia mikopo isiyo na riba kwani inatusaidia sana katika kujikwamua kiuchumi na kutimiza malengo yao.

Aidha, Stuwart amewasii vijana kuwa wavumilivu kwenye biashara maana wengi hawavumilii changamoto, mfano kikundi chetu kilianza na wanachama 27 lakini mpaka sasa kimebaki na wanachama 8 tu na baada ya kupata mkopo huu kila mwanakikundi atakuwa anamiliki bodaboda yake.

Moja ya kikundi cha vijana  (waliokaa mstari wa mbele) waliopewa mkopo wa vyombo vya moto  na Manispaa ya Ubungo  

Watu wenye ulemavu nao wamesitizwa kutokata tamaa kwani mikopo inayotolewa na Manispaa inawahusu pia wao, jiungeni kwenye vikundi ili mpate mikopo ya kukuza biashara zenu badala ya kukaa na kunung'unika " alieleza Mary Chibago Mwanachama wa Kikundi cha *Five Star's Disabled Group.*

Hadi kufikia Januari,  2021, Manispaa ya Ubungo imetoa mikopo isiyo na riba yenye jumla ya Shilingi bilioni 1.1 kwa vikundi 111. Mikooo hiyo ina lengo la kuviwezesha vikundi hivyo 


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TUZINGATIE USAFI KUEPUKA MAGONJWA

    May 31, 2025
  • BODI YA AFYA UBUNGO YAPONGEZA WATAALAM WA AFYA NA KUTOA MAAGIZO YAKUBORESHA NYANJA MBALIMBALI

    May 29, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa