• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI VYAPEWA SEMINA ELEKEZI

Posted on: January 28th, 2022

Manispaa ya Ubungo imetoa mafunzo kwa vikundi vya wajasiriamali 133 vya wanawake, vijana na watu ulemavu watakaopata mkopo usio na riba wa Tsh bilioni 1.1 kupitia asilimia 10 ya mapato yake ya ndani lengo ikiwa ni kuwezesha vikundi hivyo kuweza kujiajiri kupitia shughuli zao za kiuchumi.


Akizungumza katika mafunzo hayo yatakayo fanyika katika siku mbili Afisa Maendeleo ya Jamii wa Manispaa hiyo Rose Mpeleta alieleza kuwa Halmashauri imeiona itoe mafunzo elekezi kwa vikundi hivyo ili kuvisaidia kufanya matumizi ya pesa hizo sawa na malengo ya fedha hizo na si vinginevyo na sio kufanyia shughuli nyengine 


“Nawasisitiza baada ya kupata mikopo hii tumieni kuwekeza kwenye biashara za kiuchumi na kukumbuka kutoa marejesho ili kuwapa wengine fursa ya kupata mikopo hiyo na sio kwenda kufanyia shughuli za sherehe za kujiturahisha”.


Mpeleta amefafanua kuwa jumla ya vikundi 133 vyenye wajasiriamali wapatao 1,201 wanaenda kupatiwa mikopo yenye jumla ya Tsh Bilioni 1.1 ikiwa vikundi vya wanawake 85 watapatiwa jumla ya Tsh Milioni 643 vikundi vya vijana 42 watapatiwa Tsh Milioni 429.4 na Tsh Milioni 74 zitatolewa kwa vikundi 6 vya watu wenye ulemavu.

 

Aidha katika mafunzo hayo wawezeshaji wametoa mafunzo ya uongozi bora wa miradi, usimamizi wa fedha, uendeshaji wa miradi na itoaji taarifa kuhusiana na mikopo hiyo ikiwa ni kusaidia vikundi hivyo kwenda kuendesha vyema miradi yao na kusaidia kurejesha fedha kwa wakati.


Nae Mh Diwani wa Kata ya Makurumla Bakari Kimwanga ameishukuru Manispaa kwa fedha hizo kwani zitaenda kuwapa heshima katika uongozi wao na amempongeza Afisa Maendeleo wa Manispaa hiyo kwa jitihada anazozifanya katika kuhakikisha vikundi hivyo vinapata mikopo.


Akiongea kwa niaba ya wanufaika wa mkopo huo ndugu Ereneo Pelagi Mushi ameishukuru Manispaa na Serikali kwa ujumla kwa mikopo hiyo na kuwashauri vijana, wanawake na walemavu wengine pia waweze kujiunga na vikundi mbalimbali vya wajasiriamali ili kuweza kupata fursa ya mikopo hiyo isiyo na riba ambayo itaenda kukuza uchumi wao na Taifa kwa ujumla.




Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa