• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WAKANDARASI WA VIBAO ANWANI MAKAZI UBUNGO WAPEWA SIKU SABA

Posted on: June 28th, 2022

Wakandarasi wa vibao vya Anwani za Makazi wapewa siku saba kukamilisha zoezi lote la uwekaji wa nguzo na vibao vya anwani katika mitaa yote iliyosalia kwa Manispaa ya Ubungo. Hayo yameelezwa na mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kheri James Leo Juni 28, 2022 alipofanya kikao na wenyeviti wa mitaa, watendaji wa kata pamoja na wakandarasi wa vibao vya Anwani za makazi kwa Manispaa ya Ubungo kujadili utekelezaji wa zoezi pamoja kusikiliza changamoto zinazowakabili.

Katika kikao hicho Mhe. Kheri amewasisitiza wenyeviti wa mitaa pamoja na watendaji wa mitaa na kata kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ukusanyaji wa fedha za vibao ambazo zilipitishwa na kukubalika kwenye vikao halali vya mitaa vilivyofanyika mapema mwanzoni mwa zoezi hilo.

Aidha, Mhe. Kheri ametoa maelekezo kwa wakandarasi wa vibao kuhakikisha wanaendelea na zoezi la kubandika vibao hivyo katika mitaa yote ambayo haijakamilika huku ofisi ya Mkuu wa Wilaya ikiandaa mikataba ya malipo baina ya  Wenyeviti wa mitaa na wakandarasi ili kushughulikia malipo yote kwa wakati. Mpaka sasa kata ambazo bado ziko nyuma kwenye ukamilisha wa zoezi hilo ni pamoja na Mburahati, Saranga, Goba, Msigani na Kwembe

“Hakikisheni mnafanya kazi ya Wenyeviti wangu kwa kubandika vibao kila nyumba na kila mtaa pamoja na nguzo kwenye kila barabara, na mimi nitashirikiana na wenyeviti wangu kuhakikisha malipo yenu yanakamilika kwa wakati” alisema

 

Sambamba na hilo, Mhe. Kheri amewaagiza watendaji wa mitaa na kata kutokukaa ofisini kwa siku saba kuanzia leo na badala yake wawepo mitaani kwenye kukamilisha zoezi hilo. Hayo ameyasema baada ya kubainika changamoto kubwa kwenye zoezi hili ni kuwa baadhi ya wakandarasi wanalega lega kutokana na uwezo mdogo wa uzalishaji wa vibao, hivyo Mhe. Kheri amewataka wenyeviti, watendaji wa kata na mitaa kuwepo mitaani kutoa elimu ya zoezi hilo pamoja na kukusanya fedha za vibao

Katika hatua nyingine, Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndugu Beatrice Dominic amemshukru Mkuu wa Wilaya kwa kuendelea kusimamia zoezi hilo kwa ukaribu na amemuahidi kufanyia kazi maagizo yote yaliyotolewa na kuwa ndani ya siku saba kutoka leo zoezi hilo litakua limekamilika.

#UbungoYetuFahariYetu

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa