• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WANAUBUNGO KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA KISHERIA BURE

Posted on: June 11th, 2022

Wananchi wa Ubungo  wanatarajia kuanza kupata  usaidizi wa kisheria kwenye changamoto mbalimbali zinazowakabili  kutoka kwa wanasheria wa kampuni ya NMG Artoney  pamoja na wanafunzi  wa sheria ambapo huduma hiyo itatolewa katika kata zote 14 za wilaya hiyo.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James leo Juni 11 2022 alipozindua programu maalumu ya usaidizi wa masuala ya kisheria kwa wananchi wa wilaya hiyo ambapo wananchi watapata fursa ya kukutana na mawakili na keleza na kusaidia masuala mbalimbali yanayohitaji usaidizi wa kisheria.

Akiainisha masuala makubwa yanayowakabili wanancho wa ubungo ni pamoja na migogoro ya ndoa, ardhi, Mirathi,  pamoja na migogoro ya kibiashara, hivyo uwepo wa programu hii kwa wananchi ni msaada mkubwa kwa Serikali kutatua changamoto hizo ambazo kimsingi zilipaswa zishughulikiwe na serikali.

Kutokana na umuhimu huo, Mhe. Kheri amewasisitiza wenyeviti, watendaji wa kata na mitaa kutoa ushirikiano kwa wanasheria hao ikiwemo kuwatangazia wananchi kuhusu uwepo wa huduma hiyo ili waweze kutumia fursa hiyo adhimu bure kabisa.


Aidha, akitoa maelezo ya ushiriki wao, Mkurugenzi wa kampuni ya NMG Artoney ndugu Gerald Noah amesema wao  wapo tayari kutoa msaada huo wa kisheria kwa wananchi wa Ubungo na amemshukuru Mkuu wa wilaya pamoja na viongozi wengine kwa ushirikiano walionesha kwa kuwapokea na kuwaruhusu kutoa huduma ya kisheria kwa wanaubungo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa manispaa ya ubungo  ndugu Beatrice Dominic amewapongeza wanafunzi na mawakili hao kwa moyo wao wa kizalendo wa kutaka kuwahudumia wananchi kwenye eneo nyeti la usaidizi wa kisheria


#UbungoYetuFahariYetu

Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA April 26, 2021
  • TANGAZO KWA WAMACHINGA WOTE November 20, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA

    July 01, 2022
  • MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UHAKIKI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI YATOLEWA RASMI

    June 30, 2022
  • WAKANDARASI WA VIBAO ANWANI MAKAZI UBUNGO WAPEWA SIKU SABA

    June 28, 2022
  • MRADI WA BILIONI 69 KUNUFAISHA WANANCHI 450,000

    June 24, 2022
  • Tazama zote

Video

TIZAMA AMBAVYO WATUMISHI WA MANISPAA YA UBUNGO WANAVYOFURAHIA UTUMISHI WA UMMA.
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa