- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Akiongea Bi. Beatrice Mossile Afisa lishe wa Manispaa hiyo wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa lishe kwa ngazi ya Halmashauri kwa robo ya kwanza 2022/2023 amesema Kitengo cha lishe kimefanikiwa kutoa elimu kwa Madiwani 19, walimu wakuu wa Shule za msingi na Sekondari, walimu wa day care na walimu wa afya na kutibu utapiamlo.
Mossile ameendelea kueleza kuwa Manispaa hiyo kwa sasa imefanikiwa kupambana na tatizo la udumavu kutoka 8% hadi kufikia 1.1% na hivyo matarajio ya Manispaa kwa sasa ni kuhakikisha idara ya elimu msingi na sekondari wanashirikiana vizuri na Kamati za shule, wazazi au walezi ili kukubaliana namna ya kuwezesha wanafunzi kupata chakula mashuleni kama muongozo wa lishe unavyoeleza.
James amewataka watendaji hao kuhakikisha wanafanya vikao na watendaji wa mitaa na walimu wakuu wa shule za kwenye maeneo yao, Kamati za shule, wazazi au walezi ili kujua namna bora ya kuwezesha watoto kupata chakula mashuleni.

