• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WATENDAJI WA KATA, MITAA UBUNGO KUWASILISHA TAKWIMU ZA MAJENGO NA MABANGO MWISHONI MWA MWEZI FEBRUARI.

Posted on: February 10th, 2021

Watendaji wa kata na Mitaa Manispaa ya Ubungo jijini Dar Es salaam waagizwa kutambua na kuwasilisha halmashauri takwimu za majengo na mabango yaliyopo kwenye mitaa yao ifikapo tarehe 28 februari mwaka huu kwa ajili ya kuanza zoezi la kukusanya kodi.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kisare Makori jana februari 9, 2021 kwenye kikao kazi kilichofanyika ukumbi wa little flower eneo la mbezi kwa viongozi na watendaji hao kuanza zoezi hilo mapema iwezejanavyo ili Kodi hizo ziweze kukusanywa kama Serikali ilivyoelekeza.

Nimeona tukutane tupeane maelekezo na muda wa kutekeleza agizo hili kwa kuanza kutambua nyumba na mabango yaliyopo kwenye mitaa yenu kwa haraka na uaminifu mkubwa na atakayekwamisha atachukuliwa hatua" alieleza Kisare

Kisare amesema kuwa baada ya kupata takwimu hizo, Manispaa itaanza kampeni ya kukusanya Kodi hizo tarehe 22 Machi, 2021. “Tambueni kuwa serikali inajiendesha kupitia kodi  kwa kiasi kikubwa hasa baada ya kuingia uchumi wa kati, hivyo ni lazima zoezi hili lifanyike kwa umakini za uaminifu mkubwa ili serikali ipate mapato”

Makori amewasisitiza watendaji hao kuwa zoezi hilo linahitaji umakini mkubwa Sana asionewe wala kupendelea mtu, “sitegemei kupata malalamiko kwa wananchi , zingatieni muongozo mtakaopewa na viongozi wenu"

Akiongea kwa niaba ya watendaji wengine , Mtendaji wa Kata ya Goba Musilima Mwenda alisema wamepokea agizo na watatekeleza kwa wakati hadi kufikia tarehe 28 mwezi huu takwimu zote zitakuwa zimekusanywa na kuwasilishwa kwa ajili ya kuanza zoezi la kukusanya kodi hizo tarehe 22 Machi kama ilivyoelekezwa.

Zoezi hili linalenga kuongeza wigo wa kukusanya mapato kutokana na uwanda wa serikali za mitaa kuwa mpana zaidi na kuyafikia majengo yaliyokusudiwa.

Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa ilitoa muongozo Mpya wa juu ya ukusanyaji wa Kodi za majengo na mabango kutekelezwa na Halmashauri nchini februari Mosi, 2021.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa