• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU OR- TAMISEMI DKT. GRACE MAGHEMBE WILAYANI UBUNGO

Posted on: May 25th, 2021

Tarehe 25 Mei 2021 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tamisemi  Dkt. Grace Maghembe amefanya ziara ya kutembelea mradi  wa Hospitali ya Wilaya ya Ubungo iliyopo mtaa wa Baruti- kata ya Kimara na baada ya hapo akatembelea hospitali ya Sinza kwa lengo la kufuatilia utekeleza wa miradi inayotekelezwa na Halmashauri na kuona maendeleo yake

Katika ziara hiyo ameambatana  na Mkurugenzi wa Afya Ustawi wa Jamii na Lishe kutoka OR-Tamisemi  Dkt. Ntuli Kapologwe  wametembelea mradi wa hospital ya Wilaya ambao umeshapokea jumla ya fedha Tsh Billion 1.75  ambapo 1.5 billioni  kutoka serikali kuu na milioni 250 kutoka katika mapato ya ndani lakini bajeti ya awali ya  mradi ulikadiriwa kukamilika kwa gharama ya fedha jumla Tshs 1,826,811,290.10 .

Dk.Grace mpongeza Mkurugenzi pamoja na  watalaam kwa utekelezaji wa mradi huo uliozingatia viwango vinavyostahili

"tutawalete watumishi 10 waongeze nguvu katika idara ya afya na fedha million 800 kwaajili ya ujenzi wa jengo la wodi, mochwali na jengo la upasuaji" Alisema hayo Dkt.Grace

Aidha wakati wa akiwasilisha taarifa kuhusiana na mradi huo Mganga mkuu wa Manispaa ya Ubungo Dkt.Peter Nsanya alieleza kuwa mpaka sasa mradi huo  umekamilika kwa 90% ukihusisha majengo saba (Jengo la wagonjwa wa nje ,jengo la wazazi,jengo la kufulia,utawala,Stoo ya Dawa ,Maabara na Jengo la wazazi)

Sambamba na hayo Dkt. Grace aliwaagiza  wataalam kuzingatia mifumo mizuri ya kushughulikia wananchi kero zao na aliwakuta wana kikao cha Kamati ya fedha chanHalmashaui nankuwataka  madiwani kuhakikisha  wanasimamia swala zima la ukusanyaji wa mapato na matumizi ya halmashauri

Na pia utunzaji bora mazingira kwa afya ya wanachi wa ubungo na kuepukana na magonjwa ya milipuko

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa