• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMPUNI YA YAPI MERKEZI YATOA MSAADA MILIONI 230 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA SHULE UBUNGO

Posted on: January 26th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar Es salaam Mhe Kisare Makori anatarajia kupokea msaada wa fedha shilingi milioni 230 kutoka kampuni ya Yapi Merkezi kwa ajili ya   kujenga miundombinu ya Shule za Msingi na Sekondari wilayani humo.


Kampuni ya Yapi Merkezi inayofanya kazi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR)   imetoa ahadi hiyo Leo januari 26, 2021 kwenye kikao kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo na kueleza kuwa msaada huo ni sehemu ya wajibu wa kampuni kusaidia jamii katika changamoto mbalimbali.


Akiongea baada ya kupokea ahadi hiyo, Mkuu wa Wilaya huyo, ameishukuru kampuni hiyo kwa msaada wao katika kuboresha miundombinu ya Shule hususani Madarasa na madawati ambayo kwa sasa uhitaji wake ni mkubwa.


"Kwa niaba ya Serikali na wananchi wa Wilaya ya Ubungo napenda kuishukuru kampuni ya Hapi Merkezi kwa msaada wao kwani utasaidia kupunguza changamoto ya upungufu wa madarasa, madawati na vyoo kwenye shule zetu" ameeleza Makori

Mkori ameendelea kueleza kuwa , msaada huo utaelekezwa  kwenye shule zenye changamoto kubwa zaidi  ya madarasa na madawati  ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Serikali la kuhakikisha wanafunzi wote hawakai chini wala kusomea nje.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa  ya Ubungo, Beatrice Dominic ameeleza kuwa ujenzi wa vyumba 37 kwa ajili ya kidato cha Kwanza  unaendelea na madawati 2000 yameagizwa na yameanza kupokekelewa na kusambazwa kwenye shule zenye upungufu. 


Aidha Beatrice amewaomba wadau wengine kuendelea kuchangia sekta ya elimu kwani uhitaji wa miundombinu ya Madarasa, madawati na vyoo kwa ajili ya kuboresha mazingira ya kujifunza na kujifunzia bado ni mkubwa sana.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic akitoa maelezo ya hali ya miundombinu kwa wawakilishi kutoka kampuni ya Yapi merkezi  wakati walipotembelea shule ya msindi Bwawani leo tarehe 26 januari, 2021


Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Uchangiaji Damu Hospitali ya Sinza June 14, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KITUO KIPYA CHA MABASI MBEZI LUIS KUANZA KUTOA HUDUMA TAREHE 25 FEBRUARI, 2021

    February 21, 2021
  • WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA KWA UFANISI KUZALISHA WASOMI BORA

    February 16, 2021
  • BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA UBUNGO LAZINDULIWA RASMI

    February 15, 2021
  • ENG NYAMHANGA APONGEZA UJENZI WA MADARASA 9 KING'ONGO, AAHIDI FEDHA ZA UJENZI WA MADARASA MENGINE 6-8

    February 12, 2021
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa