• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Maktaba ya Picha

Mwonekano wa barabara nane (8) zitakazojengwa Kimara hadi Kibaha mara utakapokamilika.






Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru akifungua jiwe la msingi kituo cha mama na mtoto Malambamawili Msigani


     

kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2018 katika picha akiwa katika mradi wa maji Hondogo Kibamba




Mwonekano wa ramani ya stendi ya Mbezi Luis inayotarajiwa kujengwa juni Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Jijini Dar es Salaam


Mkurugenzi wa Manispaa Ndg John Lipesi Kayombo akiwa kibesa Mpigi magoe alipoenda kuangalia eneo la kuanzisha shamba darasa la Manispaa ya Ubungo.




Afisa wa CRDB akiwa ameshikana mkono na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John L. Kayombo katikati ni Mhe . Mstahiki Meya wa Manispaa Boniface Jacob baada ya Kusaini Mkataba kwa ajili ya kuanza rasmi mikopo ya Wanawake na vijana Kibamba CCM.



Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe Boniface Jacob  katikati,  kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa Ndg John Kayombo

na wa kwanza kulia ni Afisa wa CRDB wakisaini mkataba kwa ajili ya mikopo ya wanawake katika ukumbi wa mikutano kibamba CCM


Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John L Kayombo akifafanua jambo wakati wa kusaini mkataba wa mikopo ya wanawake, vijana na walemavu kati ya Benki ya CRDB na Manispaa  jana tarehe 18/04/2018 katika ukumbi wa mikutano











Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori akiwa katika ziara na Diwani wa Kata ya Kimara Mhe Manota



Katibu tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg James Mkumbo aliyeshika Maiki akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Ubungo




Mku wa Wilaya ya Ubungo akiongea na Wananchi wa Kata ya Kimara



Mhe.Diwani Kata ya Kimara akimuonyesha DC Kisare makori eneo ambalo kwa sasa imejengwa shule ya Sekondari Kimara.



 

Mhe. Mstahiki meya wa Manispaa ya Ubungo akiwa katika vazi maalumu.



.





Mkurugenzi wa Manispaa na Mstahiki Meya Wakiingia katika Ukumbi wa Mikutano ulioko Kibamba CCM






.



Waheshimiwa madiwani wakiwa katika ukumiwa wa mikututano wakiomba dua tayari kwa kuanza baraza




Ndugu John L. Kayombo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo katika picha


.



Watumishi wa Manispaa ya Ubungo wakipanda mti kuonyesha umuhimu wa kutunza mazingira





Katibu tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg Jemes Mkumbo akipanda mti katika kuonyesha umuhimu wa kutunza mazingira .



.



Mtaalamu wa Mifugo Manispaa ya Ubungo akitoa mafunzo kwa Mtaandao wa Wafugaji UJUWA Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo




Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John L Kayombo akisaini daftari la Maombolezo la marehemu Nsonzigwa.


.


Mkuu wa Idara ya Mifugo ndg Mgonja akisikiliza kwa Makini mafunzo ya Mtandao wa Wafugaji yaliyofanyika Lapaz Resort



Mhe. Kisare Makori akimnywesha tone la chanjo mtoto mchanga kaika kituo cha afya Kimara



Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo ndg John L. Kayombo katika picha akiwa kwenye moja ya kikao kazi.


Afisa Mazingira Sikujua Mwapinga akiwa na baadhi ya walimu wakipanda mti kuashiria umuhimu wa kutunza mazingira.




Baadhi ya wenyeviti wa serikali za mitaa wakiwa katika kikao ukumbi wa mikutano ulioko Kibamba CCM



Mstahiki meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe. Boniface Jacob katikati akiwa na Mkurugenzi upande wa kushoto pamoja na naibu Meya upande wa kulia.



Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akitekeleza majukumu yake ya kutatua migogoro ya wananchi.




Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo John L. Kayombo katika picha akiwa ameshika cheti 

Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Uchangiaji Damu Hospitali ya Sinza June 14, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAMILIKI WA MABASI WAAGIZWA KUFUNGA OFISI ZILIZO NJE YA KITUO CHA MAGUFULI

    April 01, 2021
  • MAAFISA UGANI MANISPAA YA UBUNGO WAPIGWA MSASA KUHUSU MFUMO WA MOBILE KILIMO(M-KILIMO)

    March 26, 2021
  • TARI YAWAJENGEA UWEZO WATAALAMU WA KILIMO MANISPAA YA UBUNGO JUU YA KANUNI BORA ZA KILIMO

    March 29, 2021
  • VIKUNDI VYA VICOBA KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI

    March 29, 2021
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa