• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Uchaguzi

KITENGO CHA UCHAGUZI KATIKA SERIKALI ZA MITAA (HALMASHAURI ZA WILAYA, MIJI, MANISPAA NA MAJIJI)

Kitengo cha Uchaguzi katika Serikali za Mitaa ngazi ya Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Majiji kinaratibu shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu pamoja na Chaguzi zote ndogo zote. Yapo majukumu mengi ya kila siku na yale yanayojitokeza nyakati za Uchaguzi na kabla ya Uchaguzi kama ifuatavyo:-

1. Kuanisha nafasi wazi za viongozi wa Vijiji, Mitaa, Vitongoji na Wajumbe wa Serikali za Vijiji/Mitaa na kuwasilisha kwenye Mamlaka husika ikiwemo Tume ya Taifa ya Uchaguzi na TAMISEMI,na kuzifanyia mchakato wa uchaguzi mdogo.

2.  Kuratibu chaguzi ndogo za serikali za Mitaa (Vitongoji, Vijiji na Mitaa) pamoja na chaguzi ndogo katika Majimbo ya Uchaguzi (Madiwani na Wabunge).

3. Kutoa Matangazo ya nafasi wazi kwa vyama vyote vya siasa vyenye Usajili wa Kudumu.

4. Kutoa mafunzo ya Utawala bora kwa viongozi wote wa kuchaguliwa mara kwa mara.

5. Kusimamia Utendaji wa Serikali za Mitaa ngazi ya vitongoji vijiji, Mitaa na Kata.

6. Kutoa taarifa na Ushauri wa mwenendo wa Serikali za mitaa kwa Mamlaka.

7  Kuandaa Ratiba ya Uchaguzi na kusambaza kwa vyama vya Siasa na wadau wengine vikiwemo vyombo vya Usalama.

8. Kuratibu Uteuzi wa Wagombea katika chaguzi za Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu.

9.  Kuratibu Uanzishwaji wa Maeneo Mapya ya Kiutawala ikiwa ni pamoja na kuanisha Maeneo ya Utawala ya Mipaka ya Kiutawala ya Kata, Vijiji, Mitaa na Vitongoji kwa ajili ya                 Maandalizi ya VITUO vya kuandikishia na kupiga kura.

10. Kuratibu Mkutano wa kwanza wa chaguzi za Wenyeviti wa Halmashauri na Mameya mara baada Uchaguzi.

 11.Uhakiki endelevu wa vitambulisho vya wapiga kura (waliofariki), Kwa waliopoteza na wanahitaji vitambulisho vingine wananchi wanaelekezwa kwenda Tume ya Taifa baada ya kujiridhisha kuwa wanastahili Kupatiwa



Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa