• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC KOMBA AKUTANA NA WATENDAJI KATA UBUNGO, ATOA MAELEKEZO

Posted on: February 7th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba amewataka watumishi wa Wilaya hiyo kusimamia ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kutatua kero za wananchi.

Matakwa hayo ameyasema katika kikao kazi kilichofanyika leo tarehe 07/02/2023 kilichojumuisha wakuu wa idara na vitengo, Watendaji wa Kata na Mitaa kwa lengo la kujadili utendaji kazi na kuweka mikakati ya pamoja juu ya kuwatumikia wananchi ipaswavyo.

Mhe. Komba ameendelea kusema kuwa ataendelea kuwatumikia wananchi kwa kuhakikisha wanapata huduma bora kama ambavyo alivyoaminiwa na Rais wa awamu ya sita kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu huku akisimamia kauli ya neno MKUU

Lenye maana ya;
M- Mapato
K- Kusikiliza kero za wananchi
U- Usimamiaji wa miradi ya maendeleo
U- Ulinzi na usalama na
U- Usafi wa mazingira
Na alisisitiza kuwa MKUU ndio vipaumbele vyake.

“Kila Mtendaji wa Kata anajukumu la kukusanya mapato sambamba na kuvielewa na kuvisimamia vyanzo vyote vinavyopatikana kwenye maeneo yenu” Alisisitiza Komba.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg. Beatrice Dominic ameendelea kusisitiza watendaji hao kuendelea kuwa wazalendo katika usimamizi na ukusanyaji wa mapato na kuwataka kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria kanuni na taratibu na kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

Akiongea Ndg. Iddi Mnyeke kwa niaba ya watendaji wote ameahidi kwenda kuyafanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa ikiwa ni pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato, kusikiliza na kutatua kero za wananchi, kusimamia miradi mbalimbali ya maendeleo na kuendelea kuwajibika kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa