• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

RC MAKALLA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MANISPAA YA UBUNGO

Posted on: April 4th, 2022


Leo April 4, 2022 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi katika Manispaa ya Ubungo lengo ikiwa ni kuangalia namna miradi hiyo inatekelezwa. Na kuelezea namna ambavyo amefurahishwa na utekelezaji wa miradi hiyo.


Katika ziara hiyo Makalla ametembelea miradi iliyotokana na mgao wa fedha za Tozo za miamala Tsh Milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya cha Makuburi na Goba. Pamoja na miradi iliyotokana na mgao wa fedha za Mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari (SEQUIP) Tsh Milioni 940 kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa sekondari mpya kwa Jimbo la Ubungo sekondari ya Ubungo plaza na Jimbo la Kibamba sekondari ya Msakuzi.


Akiongea katika ziara hiyo Makalla ameipongeza Ubungo kwa utekelezaji wa miradi hiyo na kwa jinsi wanavyoshirikiana vyema baina ya viongozi wa serikali na wa chama katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa ipaswavyo. 


Aidha Makalla amesema ofisi yake itafanyia kazi maoni ya wananchi pamoja na viongozi ya kuomba mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari ya Ubungo iliyopangwa kujengwa katika eneo la kiwanja cha mpira kilichopo shule ya msingi Ubungo plaza isijengwe hapo kwani eneo hilo wamekuwa wakilitumia kwa michezo.


 Makalla amesema amefurahishwa na ushirikiano alioupata wakati wa ukaguzi wa miradi hiyo na amewataka watumishi wa serikali na viongozi wote wa Manispaa kuendelea kushirikiana na kuwasisitiza kusimamia vyema ukusanyaji wa mapato.


Pia Makalla amesisitiza viongozi wote wa Manispaa hiyo juu ya ufuatiliaji wa shughuli za miradi, kusikiliza na kutatua kero za wananchi, kuendelea kusimamia usafi wa mazingira, kuendelea kuyalinda maeneo ambayo machinga wameondolewa. Na ameitaka Manispaa hiyo kuweka mfumo wa POS mashine katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ili kumuwezesha kuzifuatilia kwa umakini.


Nae Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Kheri James amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa ujio wake na kuahidi kuwa maelekezo yote aliyoyatoa yatafanyiwa kazi na kutekelezwa ipaswavyo na kwamba Ubungo itaendelea kuwa ya mfano kwa nyanja zote.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa