• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TAKUKURU YATOA ELIMU UBUNGO

Posted on: November 22nd, 2022


TAKUKURU imepewa mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa kupitia sheria no 11 ya mwaka 2007 na katika kufanikisha hilo Leo tarehe 22/11/2022 ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Ubungo kwa kushirikiana na Manispaa ya Ubungo imetoa semina kwa Madiwani wa manispaa hiyo lengo ikiwa ni kuendelea kuwakumbusha juu ya uwajibikaji unaostahili.

Katika semina hiyo Waheshimiwa Madiwani wamefanikiwa kujifunza mada mbalimbali ikiwemo umuhimu wao juu ya Mapambano dhidi ya rushwa, maadili ya kiutendaji, majukumu na wajibu wao katika uendeshaji wa shughuli za Halmashauri.

Akiongea katika mafunzo hayo bi Dorothea Mrema Afisa TAKUKURU Mkoa wa kinondoni ameeleza kufanya kazi kwa mazoea, ukosefu wa huduma bora katika jamii, kutosimamia vyema miradi ya maendeleo kunapelekea kuwepo kwa mianya ya rushwa na amewataka viongozi hao kushirikiana vyema na TAKUKURU kwa kutoa taarifa za rushwa, kufuata sheria, kanuni na taratibu ili kuzuia mianya ya rushwa.

Nae Ndg. George Mwendamseke Afisa mwandamizi maadili ya viongozi wa Umma amewataka viongozi hao kusimamia maadili katika uwajibikaji wao ikiwa ni pamoja na kuepuka migongano ya kimaslahi, na hivyo kuwepo kwa ufanyaji kazi na uwajibikaji wa pamoja kwa maslahi ya wananchi.

“Maslahi binafsi yakizidi kuliko maslahi ya Umma Nchi haitaweza kuendelea” alisisitiza Mwendamseke.

Kwa upande wake Ndg. Stephen Maximillian Sindagulu Mwakilishi kutoka ofisi ya Mkoa wa Dar es salaam ameeleza wajibu na majukumu ya Madiwani katika uendeshaji wa Halmashauri ikiwa ni pamoja na wajibu wa ukusanyaji wa mapato pamoja na kusimamia shughuli mbalimbali za halmashauri.

Aidha Mhe. Jaffery Nyaigesha Mstahiki Meya wa Manispaa ameipongeza ofisi ya TAKUKURU ya Wilaya hiyo kwa kuandaa mafunzo hayo ambayo yanawezesha Madiwani hao kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na kuahidi kutofanya kazi kinyume na utaratibu, sheria na kanuni zilizowekwa kwa maslahi ya wananchi wa Ubungo.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa