• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

VIKUNDI VYA VICOBA KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI

Posted on: March 29th, 2021

Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka kata 14 za Manispaa ya Ubungo wamepata mafunzo ya namna ya kusajili vikundi vya kijamii vya huduma dogo za fedha maarufu kama VIKOBA kwa njia ya kielektroniki  ili wakaelimishe vikundi vilivyopo kwenye maeneo yao na kuvisaidia katika usajili Mpya kama sheria inavyotaka

Akizungumza wakati wa kutoa mafunzo kwa maafisa hayo, Afisa Maendeleo wa Manispaa ya Ubungo,  Evelyne Mangwea alisema kuwa, usajili huu Mpya wa vikundi vya kijamii ni utekelezaji wa sheria ya huduma ndogo za fedha ya mwaka 2018 na kanuni zake za mwaka 2019.

Usajili wa vikundi hivyo kupitia mfumo huo  itarahisisha usajili, usimamizi na utoaji wa taarifa za vikundi Kwa lengo la kuimarisha usimamizi wa sekta ndogo ya fedha ili kukidhi mahitaji halisi ya wananchi wa kipato cha chini na hivyo kuongeza ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini kwa wananchi

Evelyne ameeleza usajili wa vikundi kupitia mfumo huo  mpya wa kielektroniki utasaidia kwa kiasi kikubwa  kupunguza wizi, udhulumaji, migogoro  pamoja na  kudhibiti upotevu wa fedha kwenye vikundi.

"Kuanzia tarehe mosi mei mwaka huu vikundi vyote vinatakiwa viwe vimejisajili kwenye mfumo wa kielektroniki ili ili viweze kutoa huduma za kifedha na usajili huu ni bure hivyo kila Afisa Maendeleo akahakikishe anatoa elimu ya usajili huu kwa vikundi vilivyopo kwenye kata yako" alieleza Evelyne.

Evelyne ameendelea kufafanua  kuwa,  Vikundi vitakavyohusika na usajili kupitia mfumo huo  Mpya unaosimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania  (BoT) ni vile ambavyo havijasajiliwa kisheria   ili vitambuliwe  na mifumo ya kifedha ya Serikali na kuhakikisha usalama wa fedha zao.

Kwa mujibu wa muingozo huu kikundi kitaweza kusajili wanachama  kuanzia kumi (10) hadi hamsini  (50) na sio zaidi au chini ya hapo. Aidha vikundi hivyo vitajulikana kwa jina la  Community microfinance Groups  ( CMGs) badala ya  jina la VICOBA lililozoeleka.

Akielezea  namna ya kutumia mfumo huo  wa usajili, Afisa Tehama  wa Manispaa  hiyo Aziza ameeleza kuwa baada ya kupatiwa elimu ya namna ya usajili, wanachama watajisajili wenyewe  kwa kutumia  komputa au simu za rununu na Afisa Maendeleo ngazi ya kata  atapata  fursa kuvisaidia vikundi katika zoezi la usajili ikiwemo kuhakikisha nyaraka zinazotakiwa zinapakiwa kwenye mfumo pamoja na   kuona vikundi vinavyojisajili.

Akiongea kwa niaba ya maarifa maendeleo waliohudhuria mafunzo hayo, Ramla Mustafa Afisa Maendeleo wa kata ya Ubungo amesema watajitahidi kuwaelekeza wanavikundi  kujisajili kupitia mfumo you mpya ili waweze kuendelea na shughuli zao za kuwezeshana kiuchumi pamoja na kufuatia sheria za nchi.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa